Home » » Story ya Mkinga,Mchaga na Mchina Hotelini

Story ya Mkinga,Mchaga na Mchina Hotelini

Wafanya biashara wa3 Mkinga, Mchaga na Mchina.
Wakiwa kwenye mgahawa fulani town. Wakati wanakula nzi akatua kwa mkinga, mkinga akamfukuza, akaenda kutua kwa mchaga nae akamfukuza.
Akaenda kutua kwa mchina kwenye pua yule mchina akamtime baada ya muda akamkamata na kumuweka mdomoni na kumtafuna,
Mkinga na mchaga waliona wakachuna tu. Mara ya pili akaja mwingine akatua kwa mkinga, akamfukuza tena. Akatua kwa mchaga, akamuangaliia yule nzi akamdaka na kumgeukia mchina na kwumwambia, "shilling ngapi aisee nikuuzie?"
Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency