Home » , » Aibu tupu:Flora Mbaya anamkosi wa wadogo zake.

Aibu tupu:Flora Mbaya anamkosi wa wadogo zake.

  
Baada ya kuvunjika kwa ndoa iliyo dumu kwa zaidi ya miaka 10, imebainika kuwa ndoa ya mwanamuziki mahiri wa muziki wa Injili Bongo, Flora na mumewe Emmanuel Mbasha ilikubwa na visa vingi ,haya ndio Mbasha aliwahi sema toka katika chanzo kimoja cha habari.
                       “Tulikuwa tunagombana sana na Flora lakini tulikuwa tukipatana ila mama… (anamtaja jina) alichangia ugomvi,Flora naye alikuwa na nyendo zake mbaya, kuna wakati alikuwa anatoka kwenda gym (sehemu ya mazoezi) anachelewa kurudi ikafika wakati na nguvu ya ndugu wa mke ikawa kubwa kiasi cha kunizidi mimi na hapo ndipo mambo yalipofikia pabaya kabisa.”

Hivi karibuni imeenea tuhumu kubwa hasa katika mitandano ya kijamii kuhusu mume wa Frola Mbasha kumbaka mdogo wa Frola Mbasha  pichani.
Mdogo wake Flora anaedaiwa kutembea na Mr Mbasha
Kuhusu ugomvi huo, hivi karibuni Flora alikaririwa katika vyombo vya habari akisema hana tatizo na mumewe na ameshasamehe na kusahau yote yaliyopita hivyo ajitokeze tu ili akajibu mashitaka ya kudaiwa kubaka binti wa miaka 17 yaliyofunguliwa.
“Mimi sina tatizo kabisa na mume wangu, nimeshasamehe yote yaliyopita, kuhusu mashitaka ningeweza kuyafuta kama ningekuwa mimi ndiye niliyemshitaki,” alisema Flora.

Emmanuel Mbasha alishitakiwa katika Kituo cha Polisi cha Tabata Shule, Mei 30, mwaka huu kwa madai ya kumbaka shemejie.Uchunguzi juu ya tukio hilo unaendelea hadi sasa shitaka ambalo mwenyewe amelikanusha.

Aidha imekuwa sio jambo geni kwa wadogo wa Flora Mbasha kuhusiswa katika maisha ya kumtia ainu na kumchafulia heshima yake ndani ya jamii.

Kumbuka pia ile movie ya picha chafu iliyotoka inayomuhusu Mrisho Ngasa na binti aliyedaiwa pia ni mdogo wa Frola Mbaya.


Kutokana na mvutano huo pamoja na kesi hiyo ya kudaiwa kubaka inayomwandana Mbasha ni dhahiri kwamba kila mmoja hana imani na mwenzake tena hivyo suala la wawili hao kuishi kama zamani linakuwa gumu kuliko ngamia kupenya kwenye  tundu la sindano.

Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency