Jamani mungu atupe imani katika hii dunia jamni
baba huyo mnaemuona hapo kafanya ushirikina ili apate mali na awetajiri sana
hapa duniani bila ya kufikiria km kesho kwa mungu atajibu nini akamchukua mtoto
wake alie mzaa na kumgeuza nyoka na kumfungia ndani kwa muda wa miaka kadhaaa
nasiku ya jana m.mungu akataka kudhalillisha kwa shirki anayofanya,huwa
wakienda kusafisha na kumuekea chakula nyoka huyo anafungua dirisha ili hewa
iingie na sasa akawa amesahau kufunga dirisha,ndio chanzo cha yule nyoka akatoka nje na majirani wakaanza kupiga kelele bila kujua
kinachoendelea.
Hatimae wanaume wakajitokeza na kumuuwa na baada ya muda mfupi
watu wa pale nyumbani kwake wakampigia cm kuwa kunanyoka mkubwa ametoka chumba
kile unacho sema asiingie mtu na majirani wamemuuwa palepale yule bwana aliacha
shughuli alizokuwa akifanya na kuja katika sehemu ya tukio na kuwakuta watu
wamekusanyika na hapo tayari walisha muuwa nyoka huyo jamaaa akionyesha
anauchungu na kuanza kusema kwa hisia kali mm sasa ntakuwa maskini,na ni nani
aliewaambie mumuuwe nyoka huyu hali ya kuwa hiii ni dawa ya mali yangu na huyu
ni mtoto wangu mimi nimembadilisha awe hivi jamani,bila kujali ni mbele za watu na
anachozungumza ni nini subhana llwah hapo ndipo watu wakaijua siri ya baba huyo
na nn kilikuwa kinaendelea.
Hiki ndio hasa kilichotokea Arusha.
0 comments:
BONYEZA HAPA KUACHA MAONI YAKO