Home » » Unyama +18 tu : Binti ateswa,abakwa na kuchomekwa miwa sehemu za siri.

Unyama +18 tu : Binti ateswa,abakwa na kuchomekwa miwa sehemu za siri.

TUNAOMBA RADHI KWA MUONEKANO WA HIZI PICHA


Vanusia Silva Pereira binti mkazi wa kijiji cha Arataca nchini Brazil,hizi karibuni amefanyiwa unyama wa kutisha baada ya kukamatwa,kupigwa,kupigwa vikali,kubakwa na kisha kuchomeka miwa sehemu za siri na kuachwa mpaka kifo kilipomkuta.



Baba wa binti huyo aliyetambulika kwa jina moja la Mr Wilson ambae nae ni mkulima katika kijiji hicho,amesema binti yake hivi kalibuni alianza kujihusisha na makundi yasiyoeleweka hasa ya wauza na wafutaji wa madawa ya kulevya.



Baada ya mwili wa marehemukuchukuliwa na polisi,uchunguzi umeonyesha binti huyo alipata mateso makali mno,na ndio kinachosadikika kuwa chanzo cha kifo chake.
Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency