Home » » WACHAGA MPOOOO?

WACHAGA MPOOOO?



Mnyakyusa mmoja aliwaalika watu
katika mazishi ya mama yake. Baada ya kushusha jeneza wakatia ndani ya kaburi viazi, mchele na kuku kadhaa.
Mhaya mmoja akauliza, 'Vya nini hivyo?'
Akaambiwa, 'Wafu huenda safari ndefu sana, hivi atakula njiani'.
Mhaya akazama kwenye wallet, akatoa laki 2, akaidondoshea akisema, 'vikiisha hivyo atanunua vingine'.Mkurya mmoja akadondoshea laki moja
akasema, 'Isipotosha ataongezea hii'
Mchaga akatoa cheque book, akaandika cheki ya laki 5, akachukua ile laki 3 kwenye kaburi na kuacha cheki akisema,'bora ukachukue hela mbele ya safari kwa
cheki. Vibaka wasije WAKAKUUA bure'.
Shikamoo wachaga!
Share this article :

1 comments:

PINNED COMMENT said...

It is a huge relief reading such a carefully curated piece. With all the stress in the world right now, you definitely need some MEDICAL MARIJUANA​ ​ in your life.

In order to do so, you need to know HOW TO ORDER WEED ONLINE​ ​ The world needs all the calm and serenity it could use at this moment in time. I must bookmark this to share with my colleagues. Good job mate. Spread Love every chance you get. PEACE

 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency