Home » » Sister wa kanisa auwawa katika sambulio la majambazi Ubungo.

Sister wa kanisa auwawa katika sambulio la majambazi Ubungo.




SISTA wa Parokia ya Makoka iliyopo Kibangu, Dar ameuawa na majambazi yaliyokuwa kwenye bodoboda wakati akiingia kwenye gari akitokea dukani eneo la River Side, Ubungo jijini Dar es Salaam hivi punde. Kabla ya kuuawa sista huyo, dereva wake alipigwa risasi mkononi na majambazi hayo.





Mwili wa Sista baada ya kupigwa risasi.


Kidole cha dereva kilichokatwa kwa risasi.


Ganda la risasi likiwa eneo hilo la tukio.


...Dereva akiwasiliana na jamaa zake baada ya kupigwa risasi na sista aliyekuwa naye kuuawa.


Wananchi wakiwa eneo la tukio.




SOURCE: GPL
Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency