Home » » Umuhimu wa Hereni

Umuhimu wa Hereni


Hereni ni mapambo yanayovaliwa masikioni.
Kuna aina nyingi za hereni katika tamaduni mbalimbali. Heleni hutengenezwa kwa kutumia madini ya thamani kama dhahabu au diamond.
Pia hutengenezwa kwa kutumia silver na almasi.
Lakini pia kwa kutumia ubao, mfupa au kioo, vifuu vya nazi na Kutokana na tamaduni mbalimbali, hereni zimekuwa zikivaliwa zaidi na wanawake, wanaume au jinsia zote mbili.
Mara nyingi uvaaji wa heleni unatakiwa kuzingatia aina ya nguo uliyovaa, hapo unatakiwa kucheza na rangi.
Mpangilio wako wa nguo na hereni hata na viatu utakufanya uonekane maridadi muda wote.
Wanawake wa kimasai wamekuwa wakijipamba kwa mapambo
ya shanga hali ambayo inawafanya wazidi kudumisha
utamaduni wao.
Pia hereni zilizotengenezwa kwa shanga zimekuwa zikiwavutia watu wengi kuvaa kutokana na nakshi yak.
Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency