Mlipuko ambao unasadikika na watu wengi kuwa ni bomu lililotegwa kwa dhumuni maalumu limelipuka siku ya jana na kufanikiwa kukuua mtu mmoja huku akiwaacha watu watatu majeruhi.
Aliyefariki ni mmoja kati ya wahadhiri waliokuja kutoka Tanga na S waliojeruhiwa ni sheikh Hamad pamoja na Sheikh Kassim Mafuta ambae amepata majeraha kidogo.Majeruhi wote wamelazwa hospitali ya Mnazi Mmoja, Zanzibar.
0 comments:
BONYEZA HAPA KUACHA MAONI YAKO