Home » » Mkoani Mtwara:Watoto wachezea bomu .

Mkoani Mtwara:Watoto wachezea bomu .



Jambo lisilo kuwa akawaida katika kata ya Mawala mkoani Mtwara Vijijini watoto walikutwa na msamalia mwema wakichezea bomu la 60mm walilolokota pembezoni na kichaka.



Baada ya msamalia huyo kuona ni kitu chenye umbo linalifanana na bomu aliamua kutoa taarifa polisi kabla ya wanajeshi kuja kulichukua kwa usalama zaidi.



Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency