Home » » EMMANUEL MBASHA AACHIWA KWA DHAMANA!

EMMANUEL MBASHA AACHIWA KWA DHAMANA!






Muimbaji wa dini, Emmanuel Mbasha (ambaye ni mme wa Flora Mbasha) anayekabiliwa kwa kesi ya ubakaji, ameachiwa kwa dhamana na kesi itatajwa tena julai 17.
Emmanuel Mbasha amefikishwa leo mahakama ya Ilala na kupatiwa dhamana hiyo baada ya kutimiza masharti yaliyohitajika.

Bwana Emmanuel Mbasha alifikishwa mahakamani hapo kwa shitaka la kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 17 anayedaiwa kuwa shemeji yake
Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency