Moja ya wanafunzi waliopo JKT Raphael Kingaz waliopo mafunzoni kusubili matokeo ya kidato cha sita,aliyekuwa mwanafunzi wa HGE shule ya sekondari mbezi beach amefariki akiwa mkoani Tanga kwenye kambi ya mafunzo ya JKT amefariki dunia siku ya jana mazishi yake yamefanyika leo huku sababu ya kifo chake ikiwa haijafahamika.
Pole ziwafikie ndugu, jamaa na marafiki na jumuiya yote ya shule ya sekondari mbezi beach.
0 comments:
BONYEZA HAPA KUACHA MAONI YAKO