Home » » MFAHAMU CHERELLE CAMPBELL

MFAHAMU CHERELLE CAMPBELL




Mwanamke mmoja mwenye makazi yake campbel, Uingereza amejikuta anaingia katika wakati mgumu baada ya kufanya upasuaji wa urembo kwa lengo la kutengeneza kibonyo shavuni.

Mwanamke huyo Cherelle Campbell, ambaye ni mwanasheria mtarajiwa, alikuwa mwanamke wa kwanza kufanyiwa upasuaji wa urembo kutengeneza kibonyo.

Upasuaji huo wa urembo unahusisha kutengenezwa kw amatundu kadhaa shavyuni kutengeneza muonekano wa kibonyo mtu anapotabasamu au kuongea.

Shughuli hiyo yenye gharama  ya dola za Marekani 2,500 imeletea shida binti huyo ambaye anasema kwamba sasa anajiona kama kituko, kwani matundu yameingia ndani zaidi.
Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency