Home » » WATANZANIA POPOTE MLIPO MPIGIENI KURA KIJANA HUYU,MTANZANIA PEKEE ANAYESHIRIKI SHINDANO LA BIASHRA DUNIANI

WATANZANIA POPOTE MLIPO MPIGIENI KURA KIJANA HUYU,MTANZANIA PEKEE ANAYESHIRIKI SHINDANO LA BIASHRA DUNIANI


 Mtanzania popote  ulipo  hakikisha  unampigia  kura  Deo Polycarp Goodluck  mtanzania pekee anayeshiriki shindanoo la biashara duniani nchini German .
Mpaka sasa Deo Polycarp Goodluck anaongoza kwa kura chache sana huku raia kutoka BURUNDI ambaye yupo namba 2 akipambana kufa na kupona kushika namba 1,Tunahitaji  kura zenu  kuhakikisha Deo Polycarp Goodluck anabaki namba 1......Kumbuka shindano linaisha mwishoni mwa mwezi huu,sisi watanzania  ndio  tunaweza  kumpa  ushindi  mtanzania mwenzetu kwahiyo  tuendelee  kumpigia  kura  huyu  mtanzania  ,
 
JINSI YA KUPIGA KURA
1. Ingia kwenye link hii => https://www.entrepreneurship-campus.org/ideas/10/2994/
2. Shuka mpaka mwisho wa maelezo na picha utakuta maneno/namba maalum unazotakiwa uziandike, andika namba/maneno yanayoonekan kwenye kabox kadogo juu ya Button ya vote.
3. Utabonyeza button iliyoandikwa VOTE NOW, Hapo utakuwa umempigia kura na kumuwezesha kuwa mshindi.
Mpigie kura Deo leo. Tanzania kwanza.!
Share this article :
 
Copyright © March 2012. MARIDADI AGENCY
-Haki zote zimehifadhiwa
- All Rights Reserved
Template Modified by Hassan Moh Toziri
Published by Maridadi Agency