
Muimbaji wa dini, Emmanuel Mbasha (ambaye ni mme wa Flora Mbasha) anayekabiliwa kwa kesi ya ubakaji, ameachiwa kwa dhamana na kesi itatajwa tena julai 17.
Emmanuel Mbasha amefikishwa leo mahakama ya Ilala na kupatiwa dhamana hiyo baada ya kutimiza masharti yaliyohitajika.
Bwana Emmanuel Mbasha alifikishwa mahakamani hapo kwa shitaka la kumbaka msichana mwenye umri wa miaka 17 anayedaiwa kuwa shemeji yake
0 comments:
BONYEZA HAPA KUACHA MAONI YAKO