Jambo lisilo kuwa akawaida katika kata ya Mawala mkoani Mtwara Vijijini watoto walikutwa na msamalia mwema wakichezea bomu la 60mm walilolokota pembezoni na kichaka.
Mkoani Mtwara:Watoto wachezea bomu .
Jambo lisilo kuwa akawaida katika kata ya Mawala mkoani Mtwara Vijijini watoto walikutwa na msamalia mwema wakichezea bomu la 60mm walilolokota pembezoni na kichaka.
Baada ya msamalia huyo kuona ni kitu chenye umbo linalifanana na bomu aliamua kutoa taarifa polisi kabla ya wanajeshi kuja kulichukua kwa usalama zaidi.

0 comments:
BONYEZA HAPA KUACHA MAONI YAKO