Kwa waafrika kuwa mnene ni bomba, pamoja na ukweli wa kiutamadunikwamba kuwa mnene ni kutamu kwani unakuwa na nyama za kushikwa lakini ni vyema watu wakatambua kwamba uzito wa kuchusha yaani mara tatu ya ule unaostahili kuwa nao ni hatari kubwa kwa maisha yako. Onyo hili la wataalamu limefanywa baada ya uchunguzi kwa watu 894,576 waume kwa wake katika tafiti 57 zilizofanywa. ingawa tafiti hizi zilifanywa kwa watu wa Kaskazini mwa Marekani na Ulaya kwa watu wenye ujazo wa 25 (BMI) hata hapa nchini watu wanastahili kuangalia suala la uzito wao. Kwa taarifa yako uzito wa kuchusha huleta tatizo la figo, ini na aina kadha za kansa na pia hyuleta matatizo ya magonjwa ya moyo na kiharusi. Unene huleta mchosho mkubwa kwa moyo na pia kuleta mizania dhaifu ya rehemu na kusababisha shida katika mwenendo wa damu. Wanaume wenye kiuno kikubwa huongeza hatihati ya kifo wakatiw nawake wenye mzunguko mkubwa huongeza hati hati ya kifo kwa asiulimia 78.
Madhara ya Uzito Mkubwa
Kwa waafrika kuwa mnene ni bomba, pamoja na ukweli wa kiutamadunikwamba kuwa mnene ni kutamu kwani unakuwa na nyama za kushikwa lakini ni vyema watu wakatambua kwamba uzito wa kuchusha yaani mara tatu ya ule unaostahili kuwa nao ni hatari kubwa kwa maisha yako. Onyo hili la wataalamu limefanywa baada ya uchunguzi kwa watu 894,576 waume kwa wake katika tafiti 57 zilizofanywa. ingawa tafiti hizi zilifanywa kwa watu wa Kaskazini mwa Marekani na Ulaya kwa watu wenye ujazo wa 25 (BMI) hata hapa nchini watu wanastahili kuangalia suala la uzito wao. Kwa taarifa yako uzito wa kuchusha huleta tatizo la figo, ini na aina kadha za kansa na pia hyuleta matatizo ya magonjwa ya moyo na kiharusi. Unene huleta mchosho mkubwa kwa moyo na pia kuleta mizania dhaifu ya rehemu na kusababisha shida katika mwenendo wa damu. Wanaume wenye kiuno kikubwa huongeza hatihati ya kifo wakatiw nawake wenye mzunguko mkubwa huongeza hati hati ya kifo kwa asiulimia 78.
0 comments:
BONYEZA HAPA KUACHA MAONI YAKO